KILI STARS KUIKABILI LIBYA LEO



Image result for cecafa challenge cup 2017

Michuano ya soka kuwania taji la Afrika Mashariki na Kati CECAFA, inatarajiwa kuanza leo (Desemba 3, 2017)nchini Kenya.
Mataifa 10 yanashiriki katika michuano hiyo.
Mechi ya ufunguzi itakuwa kati ya wenyeji KENYA na RWANDA lakini mechi nyingine leo itakuwa ni kati ya LIBYA na TANZANIA.
Kundi A lina timu za KENYA, RWANDA, LIBYA, TANZANIA na ZANZIBAR wakati Kundi B litakuwa na mataifa ya UGANDA, BURUNDI, ETHIOPIA na SUDAN KUSINI.

Ratiba ya Michuano hiyo
Image result for cecafa challenge cup 2017
TAG