UHURU KENYATTA AAPISHWA



Image result for uhuru kenyatta sworn in Rais Uhuru Kenyatta wa KENYA leo ameapishwa rasmi kuongoza Kenya kwa muhula wa pili wa miaka mitano.
Kwa mujibu wa Katiba ya KENYA huu utakuwa muhula wake wa mwisho.
Kenyata ameapishwa mbele ya maelfu ya wananchi wa nchi hiyo katika uwanja wa Michezo wa Kasarani jijini Nairobi.
Kiapo:
"Mimi Uhuru Kenyatta, naapa kuwa nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Kenya, nitaiheshimu, nitailinda, kuitetea na kuihifadhi Katiba, Mungu nisaidie,"
TAG